Thursday, September 6, 2018

kama upepo pepea kunifata mimi shoga
ee
na kama bifu nimebobea hata uende kuroga weeh
 na maneno unaongea kumbe una nguvu za soda eeh
 kazi kunisema kwa watu ukiniona unazuga eeh
kugombana na mimi bado
naona kama unanuka baba bado
facebook twitter huzijui bado
hata insta live huijui bado
unapenda jinadi
kujikuta unajua kumbe mambo bado
achana nami
mwenzio long time mpaka leo gado

jini kisirani
we ni jini kisirani
jini kisirani
we ni jini kisirani
wakikugusa (yanakupanda) yanakupanda
wakikuchokonoa eeh yanakupanda  yanakupanda
wakikugusa (yanakupanda) yanakupanda
wakikuchokonoa eeh yanakupanda  yanakupanda
jichungeee usifate zangu nyayo
 ukifata zangu nyayo utapiga sana miayoo
kwanza unanionaje kila siku mm ninapanda bei
umechunda we ntantarira zako zitakuponza wee
Badamu batamwagikamwagika na utazoa mwenyewe
Ukizileta zitapangikapangika nikuache upangue (mwenyewe)

kugombana na mimi bado
naona kama unanuka baba bado
facebook twitter huzijui bado
ata insta live huijui bado
unapenda jinadi
kujikuta unajua kumbe mambo bado
achana nami
mwenzio long time mpaka leo gado


jini kisirani
we ni jini kisirani
jini kisirani
we ni jini kisirani
wakikugusa (yanakupanda) yanakupanda
wakikuchokonoa eeh yanakupanda  yanakupanda
wakikugusa (yanakupanda) yanakupanda
wakikuchokonoa eeh yanakupanda  yanakupanda

Aaaeeh!
jini kisirani
jini kisirani
jini kisirani 
we ni jini kisirani


0 comments:

Post a Comment